Hali hii inatishia watu makiniWatu wa aina hii ni asset but then ukiwa smart unakuwa adui
Huu wimbo ameutunga nani?Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.
Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Hali hii inatishia watu makini
Acha kuwafundisha watu kaziAntony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.
Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Nakazia📌🔨Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.
Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Upo sahihi...!!!Welcome to reality, na kama huamini angalia tu ofice nyingi, if you are smart unakuwa threat . Hawakuoni kama asset
Ziko ofisi chache zitakuchukulia kama asset.
Logic behind mabos hawataki kuonekana hawajui kazi. Hiki kitu kipo hadi ngazi za juu
Kwamba wasifundishwe kazi Kwa lipi tulionalo?Acha kuwafundisha watu kazi
Unajua Waliomteua walipomtoa? Punguza shoboKwamba wasifundishwe kazi Kwa lipi tulionalo?
Anamudu nini?Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.
Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Never outshine your master mzeeWelcome to reality, na kama huamini angalia tu ofice nyingi, if you are smart unakuwa threat . Hawakuoni kama asset
Ziko ofisi chache zitakuchukulia kama asset.
Logic behind mabos hawataki kuonekana hawajui kazi. Hiki kitu kipo hadi ngazi za juu