Swali zuri!Hivi unaelewa utofauti wa creation na cloning?
Ni kweli Mkuu Sayansi na teknolojia zote uzionazo Leo ni marudio ya Kazi ya ANUNAK Katika accient world,ndio maana Kwenye kichwa Cha mada nimesemaHivi vitabu ebu viorodheshe hapa tena(put the list of the annunaki books)
Ili tuchimbe tuelewe hizo hekaya za kale za huko Mesopotamia.
Kuna huyu jamaa Elon Musk,katika moja ya interviews zake akiwa anahojiwa kuhusu namna anavyomudu kazi mbalimbali za science and technology alijibu Kuwa yeye kama yeye amekuwa na utamaduni wa kusoma vitabu vingi sana tangu akiwa kinda kabisa wa miaka 5 hadi 6 hivi na alishawahi kusoma vitabu akiwa teenager vinavyohusu sayari za anga za mbali na kuhusu viumbe waliowahi kuitembelea dunia(Alliens) kuanzia hapo akastaajabu na ndipo alipopata msukumo wa kutaka kujua zaidi kuhusu universe as the whole na mpaka Leo anashangaa anadai the universe is infinitely,na pengine hii universe hii tuliyopo ambayo ina sayari lukuki na mabilioni ya nyota inaweza kuwa moja tu lakini kuna fununu kuwa kuna mabilioni ya universe kwa ukubwa na upana usio kifani.
Je hayo inaweza kuwa yapo kweli based on rejea zako kutoka hadithi/habari za Anunnak.
Je ni kweli au inawezekana Elon musk alisoma habari za hawa Anunnak?
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
unataka Ligue Sasa hebu Soma kule Juu maana ya Neno 'Mungu' Ankori unakwama wapiiiii?Hapa unawaita miungu siyo Mungu!
Hapo, ume"support" tena Enril ndiyo Mungu siyo miungu.
Kuna mahali hapo kabla umesema Mungu wa Ibrahimu ni mkuu kuliko Annunaki. Lakini hapa unasema unawacheka wanaoamini Mungu wa Ibrahim! Now which is which please?
Rejea swali la uncle virus then unganisha na swali langu hapo juu nililouliza mwanzo hapa naona umetoa majibu nusu.Swali zuri Mkuu,Katika Epic of Girgamesh Annunak walimkuta kiumbe Primitive aitwaye Enkidu,
Maandiko ya Sumeria yanaweka wazi kuwa huyo kiumbe Alikua na manyoya mwilini mwake akiwa na mfanano na mtu ila si timifu,alikula majani kama hayawani wengine,Hana ufahamu wowote na hucheza Katika bustani ya kumwagilia akiwalinda wenzake wasishambuliwe na Alliens,
Hapa tunaona Annunaki waliwakuta primitive na waliwaongozea uwezo Ili wawe genre ya Homo sapiens!
Hahahahah kwamba unaona sijui au sio sio Siri Ankori unataka LigueSwali zuri!
Mkuu Mimi mara nyingi humu ndio niliyekua natoa nadharia za Mtu na binadamu Kuna nadharia mbali mbali ambazo Bado hazijakaa sawa na Sina uhakika nazo ila sababu ya kimazingira ndio zinakubalika mfanoRejea swali la uncle virus then unganisha na swali langu hapo juu nililouliza mwanzo hapa naona umetoa majibu nusu.
Uncle virus kauliza hivi unajua tofauti ya creation na cloning?
Mimi sasa:Anunnak walipokuja hapa earth planet walikuta kuna watu/binadamu,pamoja na viumbe wengine kama samaki baharini na kwenye maziwa na mito,nyoka ardhini,ndege angani,wadudu(all types of insects) mimea,
Nikakuambia refer biological studies(zoology and botany)
Jibu lako umejibu waliwakuta primitive homos kama sijakoseaa wao wakawaongezea uwezo ndio akapatikana watu/binadamu.
Sasa vipi kuhusu hivyo viumbe vingine vilitokana na nini? Na vimekutwa na uhai akiwepo hao primitive homos na manyoya yao huku wakiwa ni mahayawani tu,lakini je vipi kuhusu hapo viumbe wengine wakiwemo Wanyama wa kufugwa na wa porini na ndege warukao angani?
Nani aliviumba hivyo viumbe vingine au source yake ni nini?
Alafu nilikugusia kuhusu nadharia ya watu na binadamu,katika hiyo nadharia inasemekana kuwa watu ndio originals wa hapa on planet earth na binaadamu ndio hao cloned human beings ,je dhana hiyo ni miongoni mwa masimulizi na magunduzi ya Mesopotamia?
Kwa msingi wa hiyo dhana ni kuwa mpaka sasa hivi miongoni mwetu inasemekana kuna watu na binaadamu,tena wanaenda mbele zaidi kuwa watu ni hawa wa bara la Africa kwa maana ya Africans/black people na cloned human beings ndio hao white people kutoka mabara mengine yaliyo salia.
Ebu tujuze tupatie habari tuelimike ili tuunganishe dots.
Kwa maana haya mambo haya....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
daaa wewe jamaa umesoama epic of Gilgamesh kabla genre ya Homo Elactus walioishi Afrika kua Homo sapiens Annunaki walikua ndio wanatimba dunianiMiaka uliyotaja binadamu bado alikua hajatoka Afrika yani hadithi yako ni ya uongo uongo
Ankori unakwama Wapi dhana yakuumbwa nimeitumia humu ili hata yule asiyejua maana ya human manipulation na human cloning aelewe aisee ningetumia Lugha ngumu nisingeelewekaNikusahihishe hamna mwanasayansi anayewaza kuwa dunia imefumwa au viumbe hai wameumbwa
tatizo lenu wafia dini mpo less informed, hampendi kutafuta knowledge nje ya mafundisho yenu ya dini. mnaona ni kama kukufuru.Hii sio poa kabisa, ruhusu kila mtu amwage madini bhana....acha jukwaa libaki huru.
karibu Mkuu!Asante kwa shule
😁😁😁😁🔥tatizo lenu wafia dini mpo less informed, hampendi kutafuta knowledge nje ya mafundisho yenu ya dini. mnaona ni kama kukufuru.
mmelizika na yale tu mnayohubiriwa na wachungaji/mashehe wenu huko kwenye masinagogi.
Mkuu anzisha Uzi khs kifo,Kuna utata sn hapa,mchanganyiko wa imaniMkuu usijidanganye kwamba ukifa kuna sehem utaenda. UKIFA UMEISHA!!! MWISHO WA BINADAMU NI KIFO.
Hata huyo Adam na Eva mnaoaminishwa ni binadam wa kwanza kuumbwa BADO WAPO KABURINI.
Kama wadudu,wanyama na ndege wanavyokufa na kuisha ndivyo na mwanadamu akifa anaisha.
Ukijaaliwa kuiishi miaka 100 ukiwa hai utaenda kuwa kwenye udongo infinity namba of years there
Dumas funga huu Uzi tafadhali! Narudia tena, kama huamini katika kitu chochote yaani hata katika hiki unachokihuburi hapa nakusihi kwa Jina la Yesu delete huu Uzi! Unatulisha vitu ambavyo hata wewe mwenyewe huviamini!!Mimi siamini Katika kitu chochote ndugu!
Wafia dini wengi ni wepesi sana kuamini ndiyo wengi wetu tunapigwa na vitu vizito usoni kila siku na hatukomi! Ila hii nadharia yenu wengi tumegoma kuiamini sababu ina maswali mengi yasiyojibika! Uongo uongo na uhuni uhuni mwingiiiiiii🤣🤣🤣tatizo lenu wafia dini mpo less informed, hampendi kutafuta knowledge nje ya mafundisho yenu ya dini. mnaona ni kama kukufuru.
mmelizika na yale tu mnayohubiriwa na wachungaji/mashehe wenu huko kwenye masinagogi.
ndio maana nimeamua kuwa selfish, huwa sipendi ku-share knowledge kama hizi na wafia dini,i just keep it to myself maana najua mtanibishia.
Uwe mwelewa Annunaki waliwakuta genre ya Primitive duniani hawakukuta watu Naomba usichanganye mambo ndugu, Wao ndio waliofanya genre ya Homo sapiens wa kwanza na wakamwita Adapa/Adamu Ukiwa na maana aliyetengenezwa duniani na waoHuyo Anunaki cheo chake hakifanani na cheo cha Mungu, hivyo hawezi kumreplace Mungu.
Anunaki amekaa zaidi kama mfalme - amekuta vitu/watu wapo yeye anafanya kuviongoza hivi na kutengeneza visheria vidogo vidogo
Mungu yeye ameanza kabla ile pointi ya kuvileta/kuvitokelezea kwanza vitu vyenyewe na kuviwekea kanuni za uwepo wake. Kuvipa sababu kusudi la kuumbwa kwake. Muumba