Anusurika Kukamatwa kisa kuonesha dalili za kujamba kwenye mwendokasi.

Anusurika Kukamatwa kisa kuonesha dalili za kujamba kwenye mwendokasi.

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Ukitanua paja ni dalili ya kutaka kujamba utakamatwa kwa kosa la kutaka kujamba ili kukuzuia usifanye kosa ilo utakamatwa na kuambiwa ulikamatwa kwa kosa la kuonesha viashiria vya kutaka KUTEKELEZA kosa ilo yaani umetikisa mapaja πŸ˜…πŸ˜πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜„ this is polisi mind set of Tanzania je kujamba ni kosa?

Tumewazuia watu wasiamdamane, je kuandamana ni kosa? Je mlijuaje wataandamana,(ohohohoh Mbowe hakulala na mkewe zaidi ya wiki nzima yupo mahotelini hii ni dalili tosha anataka kuandamana, na pia Mh Lema alipanda ndege kutoka Arusha mpaka DSM, na kamai haitoshi Bon yai alikamatwa akigonga mvinyo sinza siku Moja KABLA ya maandamano)πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜­
Nina andika hapa huku nacheka je kuandamana ni kosa hapana sio kosa kosa ni kukojoa na kujamba wakati wa maandamano.
So tumewazuia wasiamdamane swali ulujuaje yakuwa wataandamana? Jibu ni kuwa sisi polisi tumesomea saikolojia ya kujua wewe mwalimu unakusua kufanya uhalifu Gani na lini yaani kwa ufupi polisi WA Tanzania ni wakina Yesu Mwana wa Mungu.
NAULIZA polisi WA Tanzania mwajua yakuwa nyinyi na sisi TU kitu kimoja?yaani tulisoma pamoja na tukawaburuza darasani? Iweje mwajiona manabiii?

Good morning Tanzania kichwa Cha habari na habari YENYEwe ni Moshi na kuni
 
Dah!Ukishaajiriwa kuwa njagu watu wanakuona kama mpumbavu/roboti na kichaa at the same time. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™
 
Ukitanua paja ni dalili ya kutaka kujamba utakamatwa kwa kosa la kutaka kujamba ili kukuzuia usifanye kosa ilo utakamatwa na kuambiwa ulikamatwa kwa kosa la kuonesha viashiria vya kutaka KUTEKELEZA kosa ilo yaani umetikisa mapaja πŸ˜…πŸ˜πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜„ this is polisi mind set of Tanzania je kujamba ni kosa?

Tumewazuia watu wasiamdamane, je kuandamana ni kosa? Je mlijuaje wataandamana,(ohohohoh Mbowe hakulala na mkewe zaidi ya wiki nzima yupo mahotelini hii ni dalili tosha anataka kuandamana, na pia Mh Lema alipanda ndege kutoka Arusha mpaka DSM, na kamai haitoshi Bon yai alikamatwa akigonga mvinyo sinza siku Moja KABLA ya maandamano)πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜­
Nina andika hapa huku nacheka je kuandamana ni kosa hapana sio kosa kosa ni kukojoa na kujamba wakati wa maandamano.
So tumewazuia wasiamdamane swali ulujuaje yakuwa wataandamana? Jibu ni kuwa sisi polisi tumesomea saikolojia ya kujua wewe mwalimu unakusua kufanya uhalifu Gani na lini yaani kwa ufupi polisi WA Tanzania ni wakina Yesu Mwana wa Mungu.
NAULIZA polisi WA Tanzania mwajua yakuwa nyinyi na sisi TU kitu kimoja?yaani tulisoma pamoja na tukawaburuza darasani? Iweje mwajiona manabiii?

Good morning Tanzania kichwa Cha habari na habari YENYEwe ni Moshi na kuni
Swali fikirishi Je kusimamisha niniliu ni kosa endapo utamgusa nayo jirani wakati wote mme simama kwenye mwendo kasi, ama polisi kaona imetuna ukiwa karibu na jirani yako
 
Kamanda ameshasema kuwa wao Huwa hawapendi kubishana Wala misifa,

Ila ifahamike tu kuwa,

Sativa aliokolewa na Polisi.
 
Nimesoma paragraph ya kwanza tu nimechoka,nimeshindwa kuelewa ni lugha ya sanaa imetumaka au ndio kujamba kujamba sielewi nimeishia hapohapoπŸ˜‡
 
Back
Top Bottom