Any Advocate/Lawyer practicing in land/housing court at Ifakara?

Chiwaso

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
5,726
Reaction score
3,778
Hi wana JF,

Nina suala ninataka lisimamiwe na Mwanasheria katika Mahakama ya wilaya ya Kilombero iliyoko pale Ifakara. Kama kuna Advocate yeyote anayefanya/practicing kazi katika ama wilaya hiyo au Mahakama hiyo, tafadhari naomba tuwasiliane pm.
 
Hi wana JF,

Nina suala ninataka lisimamiwe na Mwanasheria katika Mahakama ya wilaya ya Kilombero iliyoko pale Ifakara. Kama kuna Advocate yeyote anayefanya/practicing kazi katika ama wilaya hiyo au Mahakama hiyo, tafadhari naomba tuwasiliane pm.
ni lazima awe ifakara? mi nipo Dar ila ifakara huwa nna case ya mteja wangu kama hujapata you can PM me.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…