Any honest woman up there!

HEAVYWEIGHT

Member
Joined
Dec 18, 2010
Posts
5
Reaction score
0
Natafuta mwanamke wakupeana mwenye matatizo katika ndoa au alieachika tuweze kupeana raha.
 
Heavyweight, you can be creative more than this!
 
mwenye kuachika na mwenye matitizo ndoani come out!! there is another mchakachuaji wa wake za watu,,,,,
 
tena jamani haka kajamaa si kigeni hichi naona ana kamba mguuni!!!!!!!!!!!!khaaa,,,,,kwani kaambiwa humu kuna wake nini kaona bora ajixpress,,,la illa ha ila llah!!!
 
Hey, tumechoka na hizi habari.

Kweli kabisa, mi nataka kusikia habari njema sasa, kama hizi,

Nashukuru ndoa yangu/yetu inaendelea vizuri,
Tangu tumeoana hatujawahi kudundana,

IKitokea kasoro tunaimaliza wenyewe kwa hekima,

Pamoja na magumu ya hapa na pale, lakini tumeshinda kwa jinsi hii na hii,
Na mambo yanayofanana na hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…