Iwindi_Mbalizi
Member
- Dec 1, 2008
- 24
- 4
Jamani naomba nisaidiwe kama kuna mtu yeyote anaweza nisaidia nipateje Chumba cha kufanyia
Biashara yoyote ndogo na mpya kwa Mbeya.Si lazima sana iwe City center lakini eneo lililokaribu na barabara
muhimu au iliyo karibu na Institution kama za shule na vyuo itakuwa safi.
Nitashukuru kwa masaada wenu.:smile-big:
Biashara yoyote ndogo na mpya kwa Mbeya.Si lazima sana iwe City center lakini eneo lililokaribu na barabara
muhimu au iliyo karibu na Institution kama za shule na vyuo itakuwa safi.
Nitashukuru kwa masaada wenu.:smile-big: