Any job i apreciate it

Tanui hillary

Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
7
Reaction score
0
Am,kenyan nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na sina hela za kujiendeleza kwa sasa naomba kama kuna kazi yeyote thafathali napatikana
 
dah! kila la kheri. una any idea ni kazi za aina gani na wapi unataka?
 
dah! kila la kheri. una any idea ni kazi za aina gani na wapi unataka?
yes any job so long as inaweza kunizaidia coz sijakamilisha masomo zangu ata kama ni nchii za nche ni zawa coz mie niko kenya na wewe uko wapi?
 
yes any job so long as inaweza kunizaidia coz sijakamilisha masomo zangu ata kama ni nchii za nche ni zawa coz mie niko kenya na wewe uko wapi?
Rudi umaliza shule kwanza. Ushauri wa bure: chagua lugha moja kati ya Kiingereza na Kiswahili. Halafu jifunze na kuijua kwa ufasaha. Kwa ujuzi wako huo wa kuchang'anya lugha mbili ambazo hata hivyo hakuna hata moja unayoimudu siwezi kukupa kazi hata ya kufagia nyumbani kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…