Any news about tanapa?

nkaken

Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
6
Reaction score
0
Hivi tanapa wanaita watu baada ya muda gani?au ndio mpaka tusahau ndio waanze kuita.?
 
duh!!!!!!!!!!!! yote hayo ni manjaa tuuuuuuuu!!!!!! tusubiri tu ndugu yangu mtanzania kama Mungu kakupa nafasi ni lazima utaitwa tuu... eh?
 
Mi nnachojua kuhusu TANAPA ni kuwa SITTING ALLOWANCE zao ni sh 200,000/- na wanakaa kila siku asubuhi kupeana taarifa kabla ya kuanza kazi.
 
Duh mie kuna msg yangu keshaitwa na kishaanza kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…