M Ms mashaba Member Joined Dec 28, 2011 Posts 43 Reaction score 4 Aug 17, 2012 #1 wanajamvini, kama kuna mtu ana any update kutoka TRA zile nafasi za accountant assistant. Naomba tufahamishane.:israel::spy:
wanajamvini, kama kuna mtu ana any update kutoka TRA zile nafasi za accountant assistant. Naomba tufahamishane.:israel::spy:
M markj JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 1,778 Reaction score 685 Aug 18, 2012 #2 walishawatumia watu barua za kuwataka wa wakubali au lah kuhusu kuchukuwa nafasi hiyo! jaribu kwenda kwenye sanduku la posta lako!
walishawatumia watu barua za kuwataka wa wakubali au lah kuhusu kuchukuwa nafasi hiyo! jaribu kwenda kwenye sanduku la posta lako!
R Rweza79 JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 207 Reaction score 47 Aug 18, 2012 #3 Besti ukiona manyoya ujue................ Nawe jiongeze!!!!!!!!
M Ms mashaba Member Joined Dec 28, 2011 Posts 43 Reaction score 4 Aug 18, 2012 Thread starter #4 markj said: walishawatumia watu barua za kuwataka wa wakubali au lah kuhusu kuchukuwa nafasi hiyo! jaribu kwenda kwenye sanduku la posta lako! Click to expand... wow thank u nimeenda nimekuta kabarua
markj said: walishawatumia watu barua za kuwataka wa wakubali au lah kuhusu kuchukuwa nafasi hiyo! jaribu kwenda kwenye sanduku la posta lako! Click to expand... wow thank u nimeenda nimekuta kabarua
M Ms mashaba Member Joined Dec 28, 2011 Posts 43 Reaction score 4 Aug 18, 2012 Thread starter #5 Rweza79 said: Besti ukiona manyoya ujue................ Nawe jiongeze!!!!!!!! Click to expand... dah!!!!!1
Rweza79 said: Besti ukiona manyoya ujue................ Nawe jiongeze!!!!!!!! Click to expand... dah!!!!!1
M markj JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 1,778 Reaction score 685 Aug 18, 2012 #6 Ms mashaba said: wow thank u nimeenda nimekuta kabarua Click to expand... vipi wamekupa post gani/ internal auditor au? imekwambia unaanza lin?
Ms mashaba said: wow thank u nimeenda nimekuta kabarua Click to expand... vipi wamekupa post gani/ internal auditor au? imekwambia unaanza lin?