any update from tra?

Ms mashaba

Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
43
Reaction score
4
wanajamvini, kama kuna mtu ana any update kutoka TRA zile nafasi za accountant assistant. Naomba tufahamishane.:israel::spy:
 
walishawatumia watu barua za kuwataka wa wakubali au lah kuhusu kuchukuwa nafasi hiyo! jaribu kwenda kwenye sanduku la posta lako!
 
Besti ukiona manyoya ujue................ Nawe jiongeze!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…