wilbald JF-Expert Member Joined Dec 17, 2007 Posts 1,810 Reaction score 1,377 Oct 15, 2011 #21 Ndechumia said: Hakuna hata mjinga 1 atakae jitokeza aje kufanya biashara isiyoeleweka, hii nahis itakuwa ni biashara haram au kichaa! Click to expand... imma-one=ni soo.
Ndechumia said: Hakuna hata mjinga 1 atakae jitokeza aje kufanya biashara isiyoeleweka, hii nahis itakuwa ni biashara haram au kichaa! Click to expand... imma-one=ni soo.
OMGHAKA Member Joined Aug 15, 2011 Posts 97 Reaction score 24 Oct 15, 2011 #22 Biashara ambayo haipo east africa? na utandawazi wote huu? sijui!! labda!!! lakini mara nyingi adhaniaye anajua kumbe ndiye hajui na baya zaidi huwa hajui kuwa hajui...
Biashara ambayo haipo east africa? na utandawazi wote huu? sijui!! labda!!! lakini mara nyingi adhaniaye anajua kumbe ndiye hajui na baya zaidi huwa hajui kuwa hajui...
Biohazard JF-Expert Member Joined Aug 21, 2011 Posts 2,197 Reaction score 1,465 Oct 15, 2011 #23 Weka CV yako ili nijue nitadeal na mtu gani. Just personal Details zako na Level of Education.