Anza biashara ya kuprint T-Shirts na vitu vingine kwa Tshs. 1, 700, 000 tu!

Anza biashara ya kuprint T-Shirts na vitu vingine kwa Tshs. 1, 700, 000 tu!

chichiboy1

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
1,371
Reaction score
1,856
Habari za majukumu wanajamvi.

Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa TSHS. 1, 700, 000/= (milioni moja na laki saba).

Pamoja na vitu hivi, nitakupatia baking paper.

20210918_084948.jpg

20210918_091841.jpg

20210918_085237.jpg

tmp-cam-1989362931.jpg
 
Nimejaribu kupakia picha lakini imeshindikana, nafikiri ni lwa ajili ya kifaa ninachotumia. Ukihitaji picha nitakutumia WhatsApp
 

Attachments

  • tmp-cam--1111787280.jpg
    tmp-cam--1111787280.jpg
    107.5 KB · Views: 53
Hii Epson printer inaprint picha (na passport size), CD, business cards n.k. Ni mpya.
 
Back
Top Bottom