chichiboy1 JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 1,371 Reaction score 1,856 Oct 13, 2021 #1 Habari za majukumu wanajamvi. Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa TSHS. 1, 700, 000/= (milioni moja na laki saba). Pamoja na vitu hivi, nitakupatia baking paper.
Habari za majukumu wanajamvi. Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa TSHS. 1, 700, 000/= (milioni moja na laki saba). Pamoja na vitu hivi, nitakupatia baking paper.
chichiboy1 JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 1,371 Reaction score 1,856 Oct 13, 2021 Thread starter #2 Nimejaribu kupakia picha lakini imeshindikana, nafikiri ni lwa ajili ya kifaa ninachotumia. Ukihitaji picha nitakutumia WhatsApp Attachments tmp-cam--1111787280.jpg 107.5 KB · Views: 53
Nimejaribu kupakia picha lakini imeshindikana, nafikiri ni lwa ajili ya kifaa ninachotumia. Ukihitaji picha nitakutumia WhatsApp
chichiboy1 JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 1,371 Reaction score 1,856 Oct 13, 2021 Thread starter #3 Hii Epson printer inaprint picha (na passport size), CD, business cards n.k. Ni mpya.