Anza mazoezi usisubiri matatizo ya kupumua

Anza mazoezi usisubiri matatizo ya kupumua

muzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,457
Watu wengi wanasubiri waugue ndo waanze mazoezi, hiyo ni kosa kubwa sana.

Kwanza ukishaugua mwili utakosa na kuishiwa na nguvu, viungo vitauma yaani kila sehemu ya mwili utakuwa hoi.

Dawa ni moja tu kinga ni bora kuliko tiba, wale wenye matatizo ya pressure, kisukari, pumu, stroke, n.k jitahidi hata kutembea utokwe na jasho na kuimarisa mapigo ya moyo na kupumua.

Pamoja na tiba nyinginezo zinazopendekezwa MAZOEZI NI MUHIMU SANA.
 
Hiyo kujifukizia imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?

Subiri waje wakusagie kunguni hata wale ambao hawajui mantiki na thamani halisi ya swali lako.

Siku hizi tumewezeshwa, kila mtu anaweza kila kitu.
 
Hizo tiba nyingine zinazopendekezwa ni zipi?
Kupiga nyungu, dawa za COVIDOL, dawa ya NIMCAF, mchanganyiko wa tangawizi, pilipili manga, kitunguu swaumu, malimao etc.
 
Kupiga nyungu, dawa za COVIDOL, dawa ya NIMCAF, mchanganyiko wa tangawizi, pilipili manga, kitunguu swaumu, malimao etc.
Hizo tiba zimejaribiwa lini na wapi zikaonyesha mafanikio? Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?
 
Back
Top Bottom