Hizo tiba nyingine zinazopendekezwa ni zipi?Pamoja na tiba nyinginezo zinazopendekezwa MAZOEZI NI MUHIMU SANA
Hizo tiba nyingine zinazopendekezwa ni zipi?
Hiyo kujifukizia imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio? Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?Kujifukiza kwa 5000/=.
Hiyo kujifukizia imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?
Hiyo kujifukizia imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tumewekewa machine ya kujifukiza ni 5000/= ngoja tukajikomboe huko!
Hizo tiba zimejaribiwa lini na wapi zikaonyesha mafanikio? Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?Kupiga nyungu, dawa za COVIDOL, dawa ya NIMCAF, mchanganyiko wa tangawizi, pilipili manga, kitunguu swaumu, malimao etc.
Halafu wataalam wa muhimbili/mloganzila wamependekeza kujifukiza mara mbili kwa siku yaani unaacha buku 10 daily.Kujifukiza kwa 5000/=.