Anza mwaka kwa kufanya makadirio ya kodi kwa wakati: Fanya makadirio ya kodi ya mapato mapema na epuka adhabu

Anza mwaka kwa kufanya makadirio ya kodi kwa wakati: Fanya makadirio ya kodi ya mapato mapema na epuka adhabu

Joined
May 22, 2017
Posts
51
Reaction score
21
Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (kama ilivyorekebishwa mwaka 2023), mlipa kodi (binafsi au kampuni) anahitajika kufanya na kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato kwa wakati. Sheria hii inaweka miongozo ifuatayo:

1. Muda wa Kuwasilisha Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anapaswa kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato ndani ya miezi mitatu ya kwanza ya mwaka wa mapato.
  • Kwa walipa kodi wanaofuata kalenda ya mwaka wa mapato (Januari–Desemba), tarehe ya mwisho ni 31 Machi kila mwaka.
  • Hii inatumika hata kwa waliosajili biashara mpya, hata kama biashara haijaanza rasmi.

2. Utaratibu wa Kulipa Kodi ya Makadirio​

  • Baada ya kuwasilisha makadirio, kodi inapaswa kulipwa kwa vipindi vinne ndani ya mwaka wa mapato.
  • Kila kipindi cha malipo kinapaswa kulipwa ndani ya miezi mitatu bila kuvuka tarehe ya mwisho ya kila kipindi.

3. Adhabu za Kutowasilisha Makadirio ya Kodi kwa Wakati​

  • Kampuni: Adhabu ya TZS 300,000 (sawa na alama 15 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.
  • Mtu binafsi: Adhabu ya TZS 100,000 (sawa na alama 5 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.

4. Adhabu za Kutolipa Kodi ya Makadirio kwa Wakati​

  • Kutolipa kodi ya makadirio kwa wakati husababisha malipo ya riba kwa kiasi kilichokosa kulipwa.
  • Riba hiyo inahesabiwa kulingana na Sheria ya Kodi ya Mapato.

5. Marekebisho ya Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anaweza kufanya marekebisho ya makadirio (kuongeza au kupunguza) wakati wowote wa mwaka wa mapato kulingana na mwenendo wa biashara.

6. Makadirio ya Kodi kwa Biashara Zisizoanza​

  • Biashara iliyoanza: Fanya makadirio kulingana na mapato yanayotarajiwa.
  • Biashara isiyoanza: Wasilisha makadirio ya sifuri (“Nil Estimated Return”) ili kuepuka adhabu.

Ushauri​

  • Wasilisha makadirio ya kodi kwa wakati ili kuepuka adhabu.
  • Rekebisha makadirio kulingana na mwenendo wa biashara yako.
  • Kama biashara yako haijaanza, hakikisha unawasilisha “Nil Estimated Return”.

Mawasiliano​

Kwa ushauri zaidi kuhusu makadirio ya kodi, wasiliana nasi:
📞 Simu: 0712685025 / 0783262125
📧 Barua pepe: momsconsultingltd@gmail.com
 
Samahani
Je! Ni hasara zipi atazipata mfanyabiashara ambaye anatumia daftari kuhifdhiia kumbukumbu za mauzo
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (kama ilivyorekebishwa mwaka 2023), mlipa kodi (binafsi au kampuni) anahitajika kufanya na kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato kwa wakati. Sheria hii inaweka miongozo ifuatayo:

1. Muda wa Kuwasilisha Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anapaswa kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato ndani ya miezi mitatu ya kwanza ya mwaka wa mapato.
  • Kwa walipa kodi wanaofuata kalenda ya mwaka wa mapato (Januari–Desemba), tarehe ya mwisho ni 31 Machi kila mwaka.
  • Hii inatumika hata kwa waliosajili biashara mpya, hata kama biashara haijaanza rasmi.

2. Utaratibu wa Kulipa Kodi ya Makadirio​

  • Baada ya kuwasilisha makadirio, kodi inapaswa kulipwa kwa vipindi vinne ndani ya mwaka wa mapato.
  • Kila kipindi cha malipo kinapaswa kulipwa ndani ya miezi mitatu bila kuvuka tarehe ya mwisho ya kila kipindi.

3. Adhabu za Kutowasilisha Makadirio ya Kodi kwa Wakati​

  • Kampuni: Adhabu ya TZS 300,000 (sawa na alama 15 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.
  • Mtu binafsi: Adhabu ya TZS 100,000 (sawa na alama 5 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.

4. Adhabu za Kutolipa Kodi ya Makadirio kwa Wakati​

  • Kutolipa kodi ya makadirio kwa wakati husababisha malipo ya riba kwa kiasi kilichokosa kulipwa.
  • Riba hiyo inahesabiwa kulingana na Sheria ya Kodi ya Mapato.

5. Marekebisho ya Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anaweza kufanya marekebisho ya makadirio (kuongeza au kupunguza) wakati wowote wa mwaka wa mapato kulingana na mwenendo wa biashara.

6. Makadirio ya Kodi kwa Biashara Zisizoanza​

  • Biashara iliyoanza: Fanya makadirio kulingana na mapato yanayotarajiwa.
  • Biashara isiyoanza: Wasilisha makadirio ya sifuri (“Nil Estimated Return”) ili kuepuka adhabu.

Ushauri​

  • Wasilisha makadirio ya kodi kwa wakati ili kuepuka adhabu.
  • Rekebisha makadirio kulingana na mwenendo wa biashara yako.
  • Kama biashara yako haijaanza, hakikisha unawasilisha “Nil Estimated Return”.

Mawasiliano​

Kwa ushauri zaidi kuhusu makadirio ya kodi, wasiliana nasi:
📞 Simu: 0712685025 / 0783262125
📧 Barua pepe: momsconsultingltd@gmail.com
Tupe faida za kimfumo za kutumia mashine za risiti kwenye mauzo
 
Tupe faida za kimfumo za kutumia mashine za risiti kwenye mauzo
Kuna faida mbalimbali za kutumia mashine au mfumo wa kutoa risiti (EFD mashine, Mfumo wa VFD nk) kwa wafanyabiashara na taifa kwa ujumla

1.Husaidia katika utunzaji wa kumbukumbu za mauzo ya biashara
2.Hupunguza ukwepaji kodi na kuepuka adhabu, sababu mfanyabiashara utanipa kodi stahiki kwa mujibu wa mauzo yako
3.Kupunguza udanganyifu na kuongeza uwazi kwenye taarifa za mauzo ya biashara
4.Kurahisha ukadilisha wa kodi ya mapato, Inarahisha kwa wadau kama TRA, washauri wa kodi na wahasibu
5.Kuongeza uaminifu kwenye biashara. Wateja wengi wanapendelea kufanya biashara na wafanyabiashara wanaotoa risiti halali.
6. Vilevile husaidia kujenga taswira nzuri ya biashara kwa ujumla
 
Kuna faida mbalimbali za kutumia mashine au mfumo wa kutoa risiti (EFD mashine, Mfumo wa VFD nk) kwa wafanyabiashara na taifa kwa ujumla

1.Husaidia katika utunzaji wa kumbukumbu za mauzo ya biashara
2.Hupunguza ukwepaji kodi na kuepuka adhabu, sababu mfanyabiashara utanipa kodi stahiki kwa mujibu wa mauzo yako
3.Kupunguza udanganyifu na kuongeza uwazi kwenye taarifa za mauzo ya biashara
4.Kurahisha ukadilisha wa kodi ya mapato, Inarahisha kwa wadau kama TRA, washauri wa kodi na wahasibu
5.Kuongeza uaminifu kwenye biashara. Wateja wengi wanapendelea kufanya biashara na wafanyabiashara wanaotoa risiti halali.
6. Vilevile husaidia kujenga taswira nzuri ya biashara kwa ujumla
Nimekuelewa kiongozi
Jee! Nikiwa natumia mashine za risiti je kuna mfumo ambao utakuwa unanikkadiria kodi kutokana na mauzo ambayo yapo kwenye record bila mimi kwenda ofisi za tra
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (kama ilivyorekebishwa mwaka 2023), mlipa kodi (binafsi au kampuni) anahitajika kufanya na kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato kwa wakati. Sheria hii inaweka miongozo ifuatayo:

1. Muda wa Kuwasilisha Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anapaswa kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato ndani ya miezi mitatu ya kwanza ya mwaka wa mapato.
  • Kwa walipa kodi wanaofuata kalenda ya mwaka wa mapato (Januari–Desemba), tarehe ya mwisho ni 31 Machi kila mwaka.
  • Hii inatumika hata kwa waliosajili biashara mpya, hata kama biashara haijaanza rasmi.

2. Utaratibu wa Kulipa Kodi ya Makadirio​

  • Baada ya kuwasilisha makadirio, kodi inapaswa kulipwa kwa vipindi vinne ndani ya mwaka wa mapato.
  • Kila kipindi cha malipo kinapaswa kulipwa ndani ya miezi mitatu bila kuvuka tarehe ya mwisho ya kila kipindi.

3. Adhabu za Kutowasilisha Makadirio ya Kodi kwa Wakati​

  • Kampuni: Adhabu ya TZS 300,000 (sawa na alama 15 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.
  • Mtu binafsi: Adhabu ya TZS 100,000 (sawa na alama 5 za fedha) kwa kila ucheleweshaji wa mwezi au sehemu ya mwezi.

4. Adhabu za Kutolipa Kodi ya Makadirio kwa Wakati​

  • Kutolipa kodi ya makadirio kwa wakati husababisha malipo ya riba kwa kiasi kilichokosa kulipwa.
  • Riba hiyo inahesabiwa kulingana na Sheria ya Kodi ya Mapato.

5. Marekebisho ya Makadirio ya Kodi​

  • Mlipa kodi anaweza kufanya marekebisho ya makadirio (kuongeza au kupunguza) wakati wowote wa mwaka wa mapato kulingana na mwenendo wa biashara.

6. Makadirio ya Kodi kwa Biashara Zisizoanza​

  • Biashara iliyoanza: Fanya makadirio kulingana na mapato yanayotarajiwa.
  • Biashara isiyoanza: Wasilisha makadirio ya sifuri (“Nil Estimated Return”) ili kuepuka adhabu.

Ushauri​

  • Wasilisha makadirio ya kodi kwa wakati ili kuepuka adhabu.
  • Rekebisha makadirio kulingana na mwenendo wa biashara yako.
  • Kama biashara yako haijaanza, hakikisha unawasilisha “Nil Estimated Return”.

Mawasiliano​

Kwa ushauri zaidi kuhusu makadirio ya kodi, wasiliana nasi:
📞 Simu: 0712685025 / 0783262125
📧 Barua pepe: momsconsultingltd@gmail.com
Mkuu hapo kipengele cha 6, ikiwa nimesajili biashara miezi 3 illiyopita lakinj bado haijaanza, je hiyo Nil estimatted return mwezi gani? Biashara imesajiliiwa october 2024
 
Nimekuelewa kiongozi
Jee! Nikiwa natumia mashine za risiti je kuna mfumo ambao utakuwa unanikkadiria kodi kutokana na mauzo ambayo yapo kwenye record bila mimi kwenda ofisi za tra
Kiongozi wangu hakuna mfumo kodi ambao utakukadiria moja kwa moja kodi ya makadirio ya mapato ya kila mwaka wa kodi isipokuwa mauzo yaliyopita kwenye mfumo wa utoaji risiti (EFD mashine au Mfumo wa VFD) yanasaidia mambo yafuatayo.
1.Kukadiria kodi stahiki kwa mwaka husika wa kodi, kwasababu mauzo ya kwenye mfumo yanasaidia kupata base ya trend ya mauzo ya biashara ambayo yanatumika kufanya makadirio ya kodi.
2.Makadilio ya kodi yanaweza kufanywa na TRA, Mhasibu au Mshauri wa kodi kulingana na Sifa za biashara:
a). Kampuni zote na biashara binafsi zenye mauzo yasiyopungua 100M yaani (Non presumptive taxpayers), Hizi makidirio yake hufanyika na Mhasibu au Mshauri wa kodi kupitia mfumo wa huduma ya walipakodi (Electronic taxpayer service portal).
b).Biashara binafsi zenye mauzo chini ya 100M (Presumptive taxpayers), Hizi ni biashara ambazo mfanyabiashara halazimiki kuandaa taarifa kwa ajili ya hesabu za mwisho wa mwaka hivyo Basi makadirio ya kodi ya mapato hufanywa na maafisa wa mamlaka ya mapato tanzania(TRA) kwa kumfanyia usahili mlipa kodi juu ya mambo mbalimbali yanayohusu biashara na kufanya maamuzi ya kiasi cha kodi kwa mfanyabiashara husika.
 
Mkuu hapo kipengele cha 6, ikiwa nimesajili biashara miezi 3 illiyopita lakinj bado haijaanza, je hiyo Nil estimatted return mwezi gani? Biashara imesajiliiwa october 2024
Mkuu wangu kuhusu makadirio ya kodi(Nil estimated return) kwa mujibu wa sheria ya kodi ya mapato yanafanyika kwa muongozo wa sheria kama ifuatavyo
1.Kwa mujibu wa sheria: biashara au kampuni yoyote pasina kujali imesajiliwa lini mwaka kodi unaisha 31/12 ya kila mwaka mfano. Kampuni imesajiliwa 30/12/2024 mwaka wake wa kodi utaishia 31/12/2024.
Nikurudi kwenye swali lako: biashara ulisajili mwezi wa oktoba 2024 mwaka wake wa kodi uliishia 31/12/2024 na huu ni mwaka mwingine wa kodi umeanzia 01/01/2025 utaisha 31/12/2025.Hivyo Basi sheria inaelekeza makadirio yafanyike ndani au kabla ya kuisha kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka mapato ambao ni 2025 yaani inatakiwa kufanya makadirio kuanzia 01/01/2025 mwisho 31/03/2025.
 
Ok natia kambi....... wasisahau Kuna walisajil biashara na wana Tin no plus clearance na kwenye mfumo hawafanyi chochote..... Waelkeze
 
Ok natia kambi....... wasisahau Kuna walisajil biashara na wana Tin no plus clearance na kwenye mfumo hawafanyi chochote..... Waelkeze
Ni Kweli wapo Ila Mara nyingi wanakuwa ni wale wenye biashara ndogo sana (Presumptive taxpayers) ambao wanafanya biashara kwaajili ya kuishi but wale wenye biashara zenye malengo kuzingatia sheria kodi na kuwa na wataalamu hakukwepeki Sababu kuna mambo kadhaa yanahitajika ili kuwe na ukuaji wa biashara, kuaminika, kupata biashara kama vile zabuni, kupata Mkopo au wawekezaji kwenye biashara.
 
Ni Kweli wapo Ila Mara nyingi wanakuwa ni wale wenye biashara ndogo sana (Presumptive taxpayers) ambao wanafanya biashara kwaajili ya kuishi but wale wenye biashara zenye malengo kuzingatia sheria kodi na kuwa na wataalamu hakukwepeki Sababu kuna mambo kadhaa yanahitajika ili kuwe na ukuaji wa biashara, kuaminika, kupata biashara kama vile zabuni, kupata Mkopo au wawekezaji kwenye biashara.
Exactly nimekupata mkuu!
 
Back
Top Bottom