BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
Nimefurahia sana Serikali kuwapiga 'stop' wafanyabiashara wanaonyemelea kuwekeza kwenye vilabu vikubwa vya soka Tz, Yanga na Simba.
Ushauri wangu kwa hili ni kuwataka wafanyabiashara hawa kuanzisha vilabu vyao kama alivyofanya mwenzao kwa kuanzisha Azam na ikawa moja ya timu zinazofanya vizuri ktk ligi kuu.
Uanzishwaji wa timu nyingine pia utazidisha ushindani ktk ligi soka Tz hivyo kuinua kiwango cha soka nchini tofauti na kung'ang'ania kwenye timu zile zile za zamani.
Huo ni ushauri wangu tu!!
Ushauri wangu kwa hili ni kuwataka wafanyabiashara hawa kuanzisha vilabu vyao kama alivyofanya mwenzao kwa kuanzisha Azam na ikawa moja ya timu zinazofanya vizuri ktk ligi kuu.
Uanzishwaji wa timu nyingine pia utazidisha ushindani ktk ligi soka Tz hivyo kuinua kiwango cha soka nchini tofauti na kung'ang'ania kwenye timu zile zile za zamani.
Huo ni ushauri wangu tu!!