Aogeshwa maji taka siku yake ya kuzaliwa 💩💩

Aogeshwa maji taka siku yake ya kuzaliwa 💩💩

Squidward

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
7,828
Reaction score
9,546
wakuu hivi huu utaratibu wa kumwagiana maji siku ya kuzaliwa ulianzishwa kwa manufaa gani? mbona kama wahuni wanazidisha manjonjo? Binafsi sijaruhusu utaratibu huu kwenye siku yangu ya kuzaliwa. Huyu dingii ni siku yake ya kuzaliwa, wahuni wakaona sio kesi wakatafuta mahali chemba ilipo a.k.a majitope jamaa akayaoga bila shida yoyote as if ni haki yake.

vipi rafiki zako wakifanya hiki kitu kwako uta-react vipi?

Uzi tayari

62479074_2365371397071980_8128420697979486208_n.jpg
 
Shule niliyosoma advance kwenye birthday yako unamwagiwa maji machafu na kukalishwa chini halafu unaanza kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira, makofi,konzi na mikanda ya kutosha.

Kwenye birthday yangu nilikuwa natangaza hali ya hatari mtu anisogelee aone nitakavyo make headline kwenye magazeti yote.

Kiufupi huo ni upuuzi first class.
 
Kuna mmoja niliwahi kumfumua makofi ya kutosha kwa sababu ya huo ujinga wa kumwagiana maji siku za kuzaliwa, binafsi km unataka nikuzimishe kwa kipigo nifanyie huo ujinga
 
Shule niliyosoma advance kwenye birthday yako unamwagiwa maji machafu na kukalishwa chini halafu unaanza kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira, makofi,konzi na mikanda ya kutosha.

Kwenye birthday yangu nilikuwa natangaza hali ya hatari mtu anisogelee aone nitakavyo make headline kwenye magazeti yote.

Kiufupi huo ni upuuzi first class.

najaribu kuwaza kama ulishiriki kuwamwagia maji wengine basi siku ya birthday yako lazima pangechimbika hata upige mkwara wa aina gani 😀
 
Kuna mmoja niliwahi kumfumua makofi ya kutosha kwa sababu ya huo ujinga wa kumwagiana maji siku za kuzaliwa, binafsi km unataka nikuzimishe kwa kipigo nifanyie huo ujinga

Hiyo ndo dawa yao, yaani hii ishu mtaani kwetu imekuwa ni kitu cha kawaida sana hata uchimbe mkwara vipi watu hawakuelewi.
 
Upumbavu huu ulianzia Dar... Yani wanaume walikaa kabisa na kubuni ujingaa
 
Back
Top Bottom