Aokota Gari kwenye Mafuriko Dar

Aokota Gari kwenye Mafuriko Dar

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
ANGALIA VIDEO HAPA

Magari yamesombwa, nyumba zimesombwa, baadhi ya Watu wamebebwa juujuu kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo Jijini Dar es salaam na kusababisha maafuriko katika baadhi ya maeneo ikiwemo Tegeta na Kunduchi.

Baadhi ya Wakazi wa maeneo hayo wameomba Serikali licha ya kusaidia kwenye uokoaji, iweke pia utaratibu wa kukusanya mali zilizookolewa na kuzigawa kwa Wamiliki wake baadae kwa utaratibu unaoeleweka ili kuepusha Watu wasiohusika nazo kujimilikisha.

📹 AyoTv
 
ANGALIA VIDEO HAPA

Magari yamesombwa, nyumba zimesombwa, baadhi ya Watu wamebebwa juujuu kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo Jijini Dar es salaam na kusababisha maafuriko katika baadhi ya maeneo ikiwemo Tegeta na Kunduchi.

Baadhi ya Wakazi wa maeneo hayo wameomba Serikali licha ya kusaidia kwenye uokoaji, iweke pia utaratibu wa kukusanya mali zilizookolewa na kuzigawa kwa Wamiliki wake baadae kwa utaratibu unaoeleweka ili kuepusha Watu wasiohusika nazo kujimilikisha.

[emoji329] AyoTv
Uonevu tuu wampe gari lake
 
Hameni huko Dar mje huku bara nchi ya asali na maziwa.


Mvua ikinyesha huko mnageuka kambale, jua likiwaka mnageuka mijusi huku wengi mkilala nje usiku.

Hameni huko, nabii alishatabiri mhame huko, mwezi May Dar yote itakuwa ndani ya bahari.
Nafasi bado zipo karibuni
 
Back
Top Bottom