prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 191
- Thread starter
-
- #41
Naunga mkoni hoja maana anajua hadi kujibu mikwara ya wakongwe! Mbwembwe nyingi kama Mkongo wa ITV na kipindi cha mizengwe.kwanza wewe si mgeni nakujua sana
Kwa nini wote wakufananishe wewe tu? Swali wewe ni gamba au magwanda?Asanten wote Lol!waliosema mwenyeji wamenifananisha tu,
Kwa hiyo wewe na Ridhwani ngoma droo wote watoto wa mjini na mnaishi kimjini mjini.m mtoto wa mjini kwanini nionyeshe unyonge ili kila mtu anionee???
Kwa nini wote wakufananishe wewe tu? Swali wewe ni gamba au magwanda?
Unataka kujifanya unaleta lugha gongana za Noorah somo halijapanda?ipi tena?kwanza ban ndiyo nini, m sivuti bangi mbona???????
Ina maana ametumia rungu kuua inzi! Jamaa intro yake inaweza kuvunja rekodi hapa JF.karibu sana lakini mbona umeweka gia ya mlimani wakati ni tambarale
Ingekuwepo ingegoma wakati wa kuisajiri, kwa hiyo upo peke yako au bado una hofu?Haya ngoja niwafundishe kuongea kibubu,anza hv;
abaa abaa abaa
apaa apaa apaaa
amaaa maaa
ahsanten kwa kukaribishwa,naomba nijue kama kuna mtu anatumia I.d kama h?
Ingekuwepo ingegoma wakati wa kuisajiri, kwa hiyo upo peke yako au bado una hofu?
Igunga vipi Mahona, naona ngoma ilikuwa nzito au ni mizengwe tu ya CDM?Punguza mikwara, karibu jamvini
Kwa hiyo wewe na Ridhwani ngoma droo wote watoto wa mjini na mnaishi kimjini mjini.
Naunga mkoni hoja maana anajua hadi kujibu mikwara ya wakongwe! Mbwembwe nyingi kama Mkongo wa ITV na kipindi cha mizengwe.
karibu sana lakini mbona umeweka gia ya mlimani wakati ni tambarale