House4Rent Apartment inapangishwa Magomeni -Usalama

House4Rent Apartment inapangishwa Magomeni -Usalama

Tanzan

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
40
Reaction score
13
Apartment mpya na iliyo sehemu nzuri inapangishwa katika Jengo la Watumishi Housing, Magomeni Usalama. Ina vyumba vitatu vya kulala, moja ni self contained. Ina sitting room, open dining room, kitchen, store, balcony ya mbele na ya nyuma. Kuna parking ya magari yenye usalama, CCTV camera, ulinzi wa uhakika na huduma za shopping floor za chini. Apartment ipo floor ya tatu, upande wenye view nzuri ya mjini na upepo mwanana. Jengo liko pembeni mwa Morogoro road, kituo cha Mwendo Kasi cha Usalama. Ni Km 2 to kufika town center.-Samora. Kodi ni 750,000/ kwa mwezi na unaweza ku

img20190401174028-jpg.1078398


img20190401172759-jpg.1078401


img20190401180955-jpg.1078403


img20190401175607-jpg.1078405


img20190401172848-jpg.1078695


img20190401181208-jpg.1078696

lipa kwa mkupuo wa miezi 6. Maongezi yapo. Apartment yafaa kwa makazi na ofisi. Karibuni kwa mawasiliano zaidi 0752392356.
 
Daah watu mnadhambi sana...

Mshaanza kuzishikilia hizo apartment na kuzipigia cha juu...


Cc: mahondaw
 
Tatizo hiyo bei, pitapita city center watu wamerudisha flemu na ofisi, kwanza kwa sasa mkupuo wa kodi ya miezi 6 sahau, mimi wapangaji wangu nimewaambia wanilipe kodi kila mwezi.
hapo kuna m 5 plus kodi miezi 6,sasa hata km mtu kapenda nyumba m 5 ghafla .inabidi usamehe tu.
 
Tatizo hiyo bei, pitapita city center watu wamerudisha flemu na ofisi, kwanza kwa sasa mkupuo wa kodi ya miezi 6 sahau, mimi wapangaji wangu nimewaambia wanilipe kodi kila mwezi.

Wewe ni baba mwenye nyumba mwema sana,maisha siku hz yametupiga mtama sana watanzania hasa awamu hii ya sgr,mabarabara na miundombinu mingine,bora ulivyoliona hilo mkuu
 
Hii Nchi kuendelea ni kazi sana yaaani NHC kodi 750k wallah hampo serious
 
Wengine wanazaninua kisha wanazipangisha,sioni ubaya hapo,ndo ubepari wenyewe huo.Tena hapo ukiwa mjanja unaichukua kwa 600k kisha unaifanya AirBnB,20$-30$ per night.location nzuri ile.

Hizo ni hujuma... apartment ya 250k kwa bei ya serikali ukamfanyie mwenzake 700k...

Serikali iliangalie hili nalo la wapangaji hewa... kwenye nyumba za serikali...


Cc: mahondaw
 
Tatizo hiyo bei, pitapita city center watu wamerudisha flemu na ofisi, kwanza kwa sasa mkupuo wa kodi ya miezi 6 sahau, mimi wapangaji wangu nimewaambia wanilipe kodi kila mwezi.
well said, miezi sita hat serikali hailipi hivyo, soma ripoti ya cAG, ccm wenyewe wameshindwa kupeleka hela NSSF, sasa hiyo nyumba pangisha kwa 400,00 na ilipwe kila mwezi ndio utapata mpangaji.
 
Mkuu kuna mahali unakosea Yaani apartment pale 750,000 kuwa mkweli umeongeza cha juu ..nikuunganishe na mtu apange

Maana tumepata nyumba full bahari beach kodi 500,000 kwa mwezi
 
Mkuu kuna mahali unakosea Yaani apartment pale 750,000 kuwa mkweli umeongeza cha juu ..nikuunganishe na mtu apange

Maana tumepata nyumba full bahari beach kodi 500,000 kwa mwezi
asante kwa kusema ukweli, mikocheni kwa mwinyi mpaka maeneo ya clouds nyumba ni laki tano 500,000/- hiyo ya magomeni fugieni majini na waganga wa kienyeji wanaotoka kigoma kuagua waswahili
 
Mzee baba iyo kodi mbona kubwa,Kumbuka serikali imehamia Dodoma
 
Tatizo hiyo bei, pitapita city center watu wamerudisha flemu na ofisi, kwanza kwa sasa mkupuo wa kodi ya miezi 6 sahau, mimi wapangaji wangu nimewaambia wanilipe kodi kila mwezi.
Faza house naomba nafasi ikitokea unishtue..napenda sana kina Faza house kama wewe.
 
Hizo ni hujuma... apartment ya 250k kwa bei ya serikali ukamfanyie mwenzake 700k...

Serikali iliangalie hili nalo la wapangaji hewa... kwenye nyumba za serikali...


Cc: mahondaw
Unataka kunambia zile apartment za vyumba vitatu pale Watumishi bei elekezi ni 250k?,sikuwa najua hilo mkuu.
 
Back
Top Bottom