Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Baada ya Daktari bingwa kutoka Tanzania,Dr Kigangwala kugundua sayansi ya kubaini uchochezi kupitia mkojo wa mtuhumiwa,napendekeza Mkapa kuchukuliwa vipimo hivyo mara moja kubaini kilichisababisha awachochee watanzania mil 6 tena mbele ya Rais wa JMT!
Napendekeza Dr Kigwangala awe field kuongoza kwa vitendo zoezi hilo!
Wasalaam!
Napendekeza Dr Kigwangala awe field kuongoza kwa vitendo zoezi hilo!
Wasalaam!