Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Suala la Noah ni la Muhimu sana, napendekeza kiitishwe kikao cha Amani kudai noah na hela ya Mafuta mwaka mzima.Asubiri kwanza tupate Noah zetu ndo waanze kupimana haja ndogo zao...
Suala la Noah ni la Muhimu sana, napendekeza kiitishwe kikao cha Amani kudai noah na hela ya Mafuta mwaka mzima.
Kikao hiki kitasaidia kuweka uelewa na utaratibu mzuri zaidi wa nani/mkoa/kabila(haswa wasukuma) waanze kupewa na sh ngapi ili kuepusha ucheleweshaji wa mgao.
Mkuu tunaomba sample tukaanze na wewe kukupima mkojoUzi ukapimwe mkojo huu[emoji23] [emoji23] [emoji23]