isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Isn't familiar or you didn't understand? πThey call me a Tech Pundit.
How comes I know nothing about the content of this thread!!
Signal ni mtandao wa kijamiiThey call me a Tech Pundit.
How comes I know nothing about the content of this thread!!
MobileCoin ni OpenSource digital wallet au/na money transfer inayokuwezesha kufanya transactions haraka na usalama zaidi. Faida ni kutuma au kupokea pesa na kutumia katika malipo kwenye ulimwengu wa Crypto kwa urahisi, haraka na usalama.M naomba kufahamu kuhusu hiyo coin ....
na naweza faidika vipi nikiamua kununua hiyo coin sijui kulipia .....ππ