hii kali sanaUza bidhaa halisi hasa ambazo ni zako mwenyewe (eshop) na hizo bidhaa zisiwe zinaweza kupatikana sehemu nyingine kirahisi
Watanzania ni ngumu kukupa hela kwa online content hata kama utafundisha namna ya kutibu saratani kwa siku Tatu inaisha hakuna mtu wa kukupa hela zaidi ya ahsante na ubarikiwe
Dating site kuitangaza mwanzoni siyo kazi rahisi social media zote haziruhusu ads za dating sites
Mzee kwa strategy hio utasota sana kutoboa ngumuCurrently nina hii hapa nasota kweli kwenye kuimarket Bongo Contents - Apps on Google Play
Mange Kimambi kashaliiba soko. Labda mtaji mkubwa sanaApp ya umbea
It's like nataka niingiize kiasi kikubwa cha hela kwa mda mfupi, kitu na ambacho it seems hakiwezekani kirahisi. Okay itabidi tu niende mdogo mdogo na nikubali kuwa Bongo Matangazo ndo yanafanya kazi [emoji120]Mzee kwa strategy hio utasota sana kutoboa ngumu
Anza kwanza kutoa huduma then ndio utengeneze App
Anza kwanza kutoa huduma then ndio utengeneze App
Anza kwanza kutoa huduma then ndio utengeneze App
Hapa namaanisha Anza na njia zilizopo kutafuta wateja then haobwateja baadae uwachote kama maji kuwamwagia ndani ya App hao ndio Users wako wa kwanza watakaolukulipa na kuwa mfano kwa wengine kuwa kweli watu wanalipa, kweli watu wanapakua App nk
Mfano wewe ukiingia Playstore ukaona App ina downloads 10 lazima uipuuzie
Hii imeenda, nitakula hela za matangazo ya kwenye kuplay video !!! Nazitolea wapi zile ndefu ndefu hadimufanya app ya Ngono, iwe kibongo bongo usiweke contents za nje
ukienda Buguruni huwezikosa characters
director mcheki Stills by Allan Lloyd Munroe
Mange akikupa ile App yake utilities wewe mwezi tu inakufa, Umbea hauna potential hiivyo bali Mange yeye kama yeye ndio ana potential ila inaweza kuwa idea mzuri pia ila hakikisha kwanza unajenga authority ya umbea kama Carry mastery, Lokole ndio uanzishe App.App ya umbea
Shida ni kupata watuamiaji( Uwekezaji unahitajika hapo.), alafu wabongo wengi maswala ya App bado wana ushamba wa kutosha. nishawah kujaribu App kazi, kwenye market nilikuwa vizur ila watumiajiNiko kwenye market research, Nataka nitengeneze application inayo offer service flani. Service gani inahitajika sana Tanzania ? Mwana JF mmoja kaniambia iwe ya ajira na Tenda
Namuweka lipota wa mchongoMange akikupa ile App yake utilities wewe mwezi tu inakufa, Umbea hauna potential hiivyo bali Mange yeye kama yeye ndio ana potential ila inaweza kuwa idea mzuri pia ila hakikisha kwanza unajenga authority ya umbea kama Carry mastery, Lokole ndio uanzishe App.
Hii hapa Tayari, shida mtaji Bongo Contents - Apps on Google PlayApp ambayo mteja anaweza kuaccess kama library ya nyimbo, movies + tamthilia.
Weka categories mteja aweze kuchagua.
Ikiweza ku stream + option ya kudownload + /save to watch later & Quality ikiwa nzuri utawapata sana.
Dating site, unahitaji mwanzon upate pisi nyingi zaku sign up ndo mamen waje kuanza kutafuta vyuma. Nawatolea wapiAndaa Dating site za kuunganisha wapenzi bila gharama wala masharti mengi, umbea, udalali wa malaya wa kila muonekano na kila mahala, miujiza ya kidini, biashara ya uganga wa kienyeji kama uuzaji wa dawa za nguvu za kiume, kusafisha nyota, kumfunga mke/mume, limbwata, chumauelete, bila kusahau stories za uongo na kutungwa kuhusu mbinguni&kuzimu.
La mwisho kabisa andaa site ya kufanya derivery ya mafuta ya mwamposa yaani msambazaji mikoani na kila mahala, kwa hakika utaupata utajiri ambao utarithisha vizazi na vizazi.
Raha kula pesa ya wajinga
Siwezagi control mind yangu kuthink positive. Kwani hamna anaenishauri nijitahidi tu kuhusu hiyo hiyo "Bongo Contents" labda niiongezee tu feature flani coz inalenga TZOngeza promo
Umeona wale wa dada wanaojiuza katika magroup telegram Wale unawaundia app Yao unaweka playstore na AppStore then ndani ya hio app unaweka category za kuchagua Group la free na group la VIP na group la VVIP Yani Ukitaka kununuA Malaya VIP au VVIP unalipia na wewe unaetaka kuwekwa VIP unalipia…!!Hawa local wachafu unaweka free kwa mwanzoni Ila baadae app ikiwa HOT unachaji pesa kwa kila anaetaka kujiunga Hata 5000…!!Mwanzoni lazima uweke mambo ya free ili upate watu hata whatsapp Mwanzo anaanza ilikuwa free kila kitu now tushaizoea tukiambiwa kwa mwezi unalipia mia 5 huwezi kataa..!!So yeye anajua app yake inawatu milioni 30 piga 500xmilioni 30…!!!Hapo kwenye ngono iweje, I mean nidisplay ngono za tz tu au zote coz free porn web n nyingi. Iwe kama ya dating, kununua malaya au iweje. Pia Tatizo kubwa n kwenye marketing inakuaj
Asante! Ika kuipromote n ngumu kuliko vitu legit. Alaf appstore na playstore wata i ban mapema tu. Labda iwe website .Umeona wale wa dada wanaojiuza katika magroup telegram Wale unawaundia app Yao unaweka playstore na AppStore then ndani ya hio app unaweka category za kuchagua Group la free na group la VIP na group la VVIP Yani Ukitaka kununuA Malaya VIP au VVIP unalipia na wewe unaetaka kuwekwa VIP unalipia…!!Hawa local wachafu unaweka free kwa mwanzoni Ila baadae app ikiwa HOT unachaji pesa kwa kila anaetaka kujiunga Hata 5000…!!Mwanzoni lazima uweke mambo ya free ili upate watu hata whatsapp Mwanzo anaanza ilikuwa free kila kitu now tushaizoea tukiambiwa kwa mwezi unalipia mia 5 huwezi kataa..!!So yeye anajua app yake inawatu milioni 30 piga 500xmilioni 30…!!!
Mambo ya hovyo promo zake zinaenda kihonyo kwa watu wa hovyo hovyo….Asante! Ika kuipromote n ngumu kuliko vitu legit. Alaf appstore na playstore wata i ban mapema tu. Labda iwe website .