App gani ya kutoa mkopo, wanatoa kwa namba ya NIDA?

App gani ya kutoa mkopo, wanatoa kwa namba ya NIDA?

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
5,915
Reaction score
7,210
Habari zenu wakuu, hapa nilipo nina shida na 15k ya haraka. Kuna app nyingi za kutoa mikopo ila kuna sharti naona sijakidhi.

Wanataka niwe na kitambulisho cha taifa (NIDA). Bahati mbaya sijakipata mpaka leo. Nina namba pekee.

Sasa nimekuja kwenu wakuu, najua wapo wenye issue kama yangu. Ningependa kujua app za mikopo ambazo ukiwa na namba ya nida pekee, wanakupa mkopo.

Natanguliza shukrani
 
Kama kuna namna ingine ya kupata hiyo hela itafute mkuu achana na hizo app
 
Habari zenu wakuu, hapa nilipo nina shida na 15k ya haraka. Kuna app nyingi za kutoa mikopo ila kuna sharti naona sijakidhi.

Wanataka niwe na kitambulisho cha taifa (NIDA). Bahati mbaya sijakipata mpaka leo. Nina namba pekee.

Sasa nimekuja kwenu wakuu, najua wapo wenye issue kama yangu. Ningependa kujua app za mikopo ambazo ukiwa na namba ya nida pekee, wanakupa mkopo.

Natanguliza shukrani
CCM APP AU CHAWA APP
 
Au sasa cash ila riba yao kubwa sana mkopo unasoma 50300 ila pesa taslimu ni 35000
 
Kila siku hizi app zinaongolewa huku watu hamkomi tu

Katika maisha tujifunze sana kutengeneza circle nzuri ya ndugu na marafiki, kama kwenye contacts zako zote hakuna anayeweza kukusaidia 15k ukipata dharura jitafakari sana ndugu
 
Ukweli ni shida sana hizi app za online loan unaweza kuharibu siku yako kabisa
 
Futa contact zako zote ubakize za wazazi tu..kama ujaona yeyote anae weza kukupatia 15k
 
Futa contact zako zote ubakize za wazazi tu..kama ujaona yeyote anae weza kukupatia 15k
Inawezekana suala sio contacts wake hawawezi kumpa 15k, shida yaweza kuwa yeye akipata hiyo 15k anaipeleka wapi.
 
Tumeshawaambia sisi watoa mikopo hatukwepeki...sasa ona!!! Uyu analialia hapa na shida zake anataka mkopo..karibu utapewa ila ukumbuke kurudisha usiwe kama matapeli wengine hapa jf
 
15k umeshindwa kuipata unataka ukope kwenye app?
Umeshindwa kukopesheka kwa ndugu, jamaa na marafiki??
 
Tumeshawaambia sisi watoa mikopo hatukwepeki...sasa ona!!! Uyu analialia hapa na shida zake anataka mkopo..karibu utapewa ila ukumbuke kurudisha usiwe kama matapeli wengine hapa jf
App gani hiyo ambayo wanataka namba pekee za nida? Sina kitambulisho
 
Kila siku hizi app zinaongolewa huku watu hamkomi tu

Katika maisha tujifunze sana kutengeneza circle nzuri ya ndugu na marafiki, kama kwenye contacts zako zote hakuna anayeweza kukusaidia 15k ukipata dharura jitafakari sana ndugu
Yawezekana mgumu kulipa pesa anazoadhimwa inafika sehem watu wote hana anaeweza kumpa..ushauri ; watu wakipewa hela wajitahid kurudisha kujenga uaminifu maana changamoto haziishi
 
Back
Top Bottom