Wengine Tupo mikoa ambayo haina vivutio sijui itakuajeShukrani mkuu.
Fanyia kazi hizi opportunity.
Nimeweza fungua tours company kwa njia hizi za kukutana na wageni na kuwauzia safari packages
Wengine Tupo mikoa ambayo haina vivutio sijui itakuaje
lakini pia Nikihitaji muongozo wako nafanyaje?
Mmmh! Lubaba, hayatanitokea puani huko mbeleni ya kuambiwa nimetakatisha watalii?
Is it legal in our country? Maana siku hizi kwenda jela kwa sababu fupi fupi kupo nje nje. Kwamba napokea fedha lakini silipi kodi
Ushauri mzuri sana, nitaufanyia kazi.
Nimeshawahi fanya na Airbnb nilipata hela, baadae mambo yaliingiliana, changamoto za maisha. Mwenye nyumba alinikatalia pia kuleta wageni kila siku, ila ntarudi tena soon
brother bigup hii nimeiilewa
Hayo mengi ndugu yangu, nenda kwenye hiyo site uipitie taratibu tu utaielewaUmesomeka mkuu ila naomba unisaidie kitu vijana wengi bado hatujasimama vizuri kiuchumi kitu kinachopelekea kuishi maisha local sana mfano kuishi chumba kimoja kwenye Nyumba ya kupanga.. Je kwenye hiyo site hawajaweka vigezo na pia masharti ya mazingira yanatakiwa yawe au unapiga picha mazingira unayoishi then unaupload ili mtalii awe huru kuchagua mazingira anayotaka? In short nahisi umeandika machache wakati kuna mengi ya kutujuza.
Uzi upo poa, ila hapo kwenye kusisitiza tukuandikia pm, nahisi dalili ya tozo na upigaji.
Nilidhani uapaswa kutuelimisha hapa.
brother bigup hii nimeiilewa
Sijawahi ziona, weka link.Kwani ni hatari nikiku-charge pesa kidogo ya bundle?
Mbona ninaandika mambo mengi tu yamaana na hujawahi hata kusema asante?
Sijawahi ziona, weka link.
Lete huenda ikawa rahis.Vizuri.
Pia mimi nafanya AirBnB Business since 2016
Nitakuja na uzi hapa soon.