KERO App za Mikopo zinatudhalilisha na kuvunja Sera ya Faragha, tukimbilie wapi kupata haki zetu?

KERO App za Mikopo zinatudhalilisha na kuvunja Sera ya Faragha, tukimbilie wapi kupata haki zetu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Ibn Algherey

New Member
Joined
Nov 29, 2023
Posts
3
Reaction score
2
Hizi App zimekuwa ni changamoto kwa jamii hasa unapopata shida ukikopa kwao ujue umejiingiza kwenye mtihani

Moja ya changamoto zinazoikumba jamii au watu wanaokopa ni kulazimishwa kulipa deni kabla ya wakati wake na huwa wanatumia vitisho vingi sana hata ukiwaelewesha juu ya tarehe sahihi ya kulipa ila ni ngumu kukuelewa.

Wanaingia kwenye contact zako wanaanza kupigia watu japo BoT wametoa muongozo ila bado changamoto iko palepale, nadhani hata BoT hawafuatilii kujua kama muongozo unafuatwa au la.

Watuambie wapi uende au upeleke wapi hizo changamoto za uzalilishaji ili sheria ifuatwe.
 
Hizi App zimekuwa ni changamoto kwa jamii hasa unapopata shida ukikopa kwao ujue umejiingiza kwenye mtihani

Moja ya changamoto zinazoikumba jamii au watu wanaokopa ni kulazimishwa kulipa deni kabla ya wakati wake na huwa wanatumia vitisho vingi sana hata ukiwaelewesha juu ya tarehe sahihi ya kulipa ila ni ngumu kukuelewa.

Wanaingia kwenye contact zako wanaanza kupigia watu japo BoT wametoa muongozo ila bado changamoto iko palepale, nadhani hata BoT hawafuatilii kujua kama muongozo unafuatwa au la.

Watuambie wapi uende au upeleke wapi hizo changamoto za uzalilishaji ili sheria ifuatwe.
Lipa deni hamna kimbilioo la ziadaa
 
Tatizo mtu unaenda kuchukua mkopo ukiwa desparate..Ndio maana hata masharti kama Riba kali na masharti ya faragha mtu huzingatii.

Hiyo ya kumruhusu aingilie contacts mnaruhusu wenyewe kitu ambacho ni very wrong.
 
Back
Top Bottom