Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
Kuna app zaidi ya 50 zimefungiwa nchini Tanzania na benki kuu ya Tanzania ambazo zinatoaga huduma ya mikopo kwa Watanzania kwa mfumo wa kidigitali.
BOT imebaini kuwepo kwa app zinazojihusisha na utoaji wa wa mikopo kwa mfumo wa mtandao bila kuwa na leseni au idhini toka benki kuu ya Tanzania.
Hali hii inahatarisha usalama wa Wateja na ustawi wa sekta ya kifedha kwani majukwaa haya yanashindwa kutimiza matakwa na muongozo wa watoa huduma ndogo za masuala ya kifedha kwa daraja la 2 mwaka 2024.
App izo zinaonekana zina changamoto kwenye maeneo kadhaa 👇
🌨️ Utoaji wa huduma zao
🌨️ Utozaji wa Riba
🌨️ Mfumo wanaotumia kukusanya madeni
🌨️ Pamoja na usalama wa kulinda faragha binafsi za Wateja wao.
Benki kuu zimefungia izo app kwani wanatoa huduma bila kibali, inatoa wito kwa jamii , umma na wadau wote kuweza kuzingatia sheria, taratibu zilizowekwa ili kulinda haki za Wateja na kuhakikisha sekta ya fedha inafanya Kazi kwa uwazi na mas
lahi kwa wote.
BOT imebaini kuwepo kwa app zinazojihusisha na utoaji wa wa mikopo kwa mfumo wa mtandao bila kuwa na leseni au idhini toka benki kuu ya Tanzania.
Hali hii inahatarisha usalama wa Wateja na ustawi wa sekta ya kifedha kwani majukwaa haya yanashindwa kutimiza matakwa na muongozo wa watoa huduma ndogo za masuala ya kifedha kwa daraja la 2 mwaka 2024.
App izo zinaonekana zina changamoto kwenye maeneo kadhaa 👇
🌨️ Utoaji wa huduma zao
🌨️ Utozaji wa Riba
🌨️ Mfumo wanaotumia kukusanya madeni
🌨️ Pamoja na usalama wa kulinda faragha binafsi za Wateja wao.
Benki kuu zimefungia izo app kwani wanatoa huduma bila kibali, inatoa wito kwa jamii , umma na wadau wote kuweza kuzingatia sheria, taratibu zilizowekwa ili kulinda haki za Wateja na kuhakikisha sekta ya fedha inafanya Kazi kwa uwazi na mas
lahi kwa wote.