iPhones: Hakuna kipya, kwa mwenye iPhone 13 au 14, haja ya ku-upgrade ni ndogo.
Watches: Kikubwa labda double tap gesture, ambayo unaweza ishi bila iyo, vingine ni kama generation iliopita.
Kama pesa sio tatizo, worthy upgrade ila kama unataka innovation, ku-upgrade iPhone ni kika after 3 years.
The rest tusubiri reviews za wataalamu.