sheby blogger
Member
- Dec 18, 2017
- 23
- 22
Wadau naomba msaada kidgo kujua kama,
Kompyuta za apple znaweza kufaa kutumika katika kazi za stationary bila kuleta matatizo au usumbufu wowote? Maana nlitaka kununua kuna jamaa yangu akaniambia mizigo ya apple huwa ni utumwa au wenyewe wanaita ni gereza la kifahari.
Nikaona sio mbaya nije kuomba ushauri huku kabla nisije kujichanganya.
Kompyuta za apple znaweza kufaa kutumika katika kazi za stationary bila kuleta matatizo au usumbufu wowote? Maana nlitaka kununua kuna jamaa yangu akaniambia mizigo ya apple huwa ni utumwa au wenyewe wanaita ni gereza la kifahari.
Nikaona sio mbaya nije kuomba ushauri huku kabla nisije kujichanganya.