Apple inaanza kutengeneza iPhone 14 nchini India

Apple inaanza kutengeneza iPhone 14 nchini India

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1664171354684.png

Apple Inc leo Jumatatu imesema itatengeneza toleo la simu za iPhone 14 nchini India, ikiwa ni mpango wake wa kuhamisha baadhi ya teknolojia za uzalishaji wa vifaa vya kamouni hiyo kutoka China.

Kampuni hiyo ilizindua simu kuu ya iPhone 14 katika hafla ya mapema mwezi huu, ambapo iliangazia uboreshaji wa usalama badala ya uainishaji mpya wa kiufundi.

"Msururu mpya wa iPhone 14 unaleta teknolojia mpya za msingi na uwezo muhimu wa usalama. Tunafurahi kuwa tunatengeneza iPhone 14 nchini India," Apple ilisema katika taarifa.
 
Hapa noma ipo kwa China, ndio maana Taiwan inawindwa kwa udi na uvumba imilikiwe na China.
 
Back
Top Bottom