Apple kufuta app ambazo hazitokuwa updated kwa miaka 3

Apple kufuta app ambazo hazitokuwa updated kwa miaka 3

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Apple imetoa tangazo kwa madevelopers kuwa itakuwa ikiondoa app ambazo zitakuwa zinamaliza miaka 3 pasipo kuwa updated. Hii ni kwa macOs na iOS.
Pia hata app ambazo hazitofikisha kiwango cha download kilichowekwa ndani ya miezi 12 nazo zitakuwa kwenye hatari ya kuondolewa kwenye duka la app.
Kwa miaka 6, apple imeondoa zaidi ya app milion 2.6 kwenye duka appstore ambazo inadai hazikukidhi vigezo.
 
Apple imetoa tangazo kwa madevelopers kuwa itakuwa ikiondoa app ambazo zitakuwa zinamaliza miaka 3 pasipo kuwa updated. Hii ni kwa macOs na iOS.
Pia hata app ambazo hazitofikisha kiwango cha download kilichowekwa ndani ya miezi 12 nazo zitakuwa kwenye hatari ya kuondolewa kwenye duka la app.
Kwa miaka 6, apple imeondoa zaidi ya app milion 2.6 kwenye duka appstore ambazo inadai hazikukidhi vigezo.
Hii hatua unaizungumziaje kiongozi Mazao
 
Hii hatua unaizungumziaje kiongozi Mazao
Ni nzuri na ndio maana siku zote nasema appstore mara nyingi app zilizoko ni za maana sio kama playstore kila mtu anaweza kuweka takataka yake.
 
Back
Top Bottom