Apple walivyo wajanja unafikiri watachukua muda ku-cover hiyo damage?
watatoa iphone 20 pro wataipachika camera nne wataongeza na ukubwa wa logo.
Kisha wataiuza kwa milioni tano, wale wazee wa kucheza na trending na kujidai wao ndio wanaishi high classic life round hii watauza hadi figo