Applicant's Application Status Information: A-LEVEL/DIPLOMA SPONSORSHIP FORM Not Stamped.

Applicant's Application Status Information: A-LEVEL/DIPLOMA SPONSORSHIP FORM Not Stamped.

1999s

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
19
Reaction score
30
Habari zenu wakuu, kama inavyosomeka katika title hapo juu, hizo ni habari za mdogo wangu ambaye ameomba mkopo kupitia bodi ya mikopo kwa ajili ya elimu ya juu(heslb). Swali tunalojiuliza hiyo stamp inayohitajika ni stamp ya taasisi gani. Mwenye kujua tafadhali atujuze. Asante.
 
Habari zenu wakuu, kama inavyosomeka katika title hapo juu, hizo ni habari za mdogo wangu ambaye ameomba mkopo kupitia bodi ya mikopo kwa ajili ya elimu ya juu(heslb). Swali tunalojiuliza hiyo stamp inayohitajika ni stamp ya taasisi gani. Mwenye kujua tafadhali atujuze. Asante.
Inaonekana alijaza kwamba alisoma kwa kufadhiliwa kidato cha sita au diploma. Kwa hiyo unatakiwa mhuri ugongwe kwenye fomu ya kuthibitisha huo ufadhili ambao aliupata.
 
Ukiomba msaada kwenye uzi wako jaribu kuwa na utamaduni wa kufanya follow up. Issue hii ni ndogo sana, bonyeza hiyo sehemu yenye shida upate form ya kujaza ambayo utaitumia kujaza taarifa za Ufadhili (sponsorship), ukimaliza ka-scan nakuituma tena, hakikisha file la PDF halizidi 1MB, likizidi li-compress!
 
Futa hizi documents kwenye huu uzi, sasa ka-scan then zi-upload kwenye akaunti ya mdogo wako.
 
Umefanikiwa kujua jambo unalotakiwa kulifanya? Hii ni siku ya mwisho ya kufanya submission ya corrections za fomu za mkopo, chapurisha!
 
Back
Top Bottom