Kwa wote mnaosubr admission mnatakiwa kuwa wavumilivu kwa sababu hatuna jinsi ndugu zangu kwani tushadanganywa kama watoto,afu kwa wale wanaoleta hofu na huku hawaja ona kitu chochote wakome kwanzia sasa,ebu post kitu ambacho kitawapa faraja wenzio na sio wasiwasi,ebu endesheni jukwaa kistaarabu na wote tufurah.
Asanteni
Asanteni