Applicants wote mnaosubiri admission soma hapa

Harooney

Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
37
Reaction score
2
Kwa wote mnaosubr admission mnatakiwa kuwa wavumilivu kwa sababu hatuna jinsi ndugu zangu kwani tushadanganywa kama watoto,afu kwa wale wanaoleta hofu na huku hawaja ona kitu chochote wakome kwanzia sasa,ebu post kitu ambacho kitawapa faraja wenzio na sio wasiwasi,ebu endesheni jukwaa kistaarabu na wote tufurah.

Asanteni
 

Asante mkuu hapo umenena
 

thumb up mkuu
 

ndo umepost nini sasa na wewe???.....tuliza mshono huo
 
Msiwe na wasi wasi kilaktu kinaenda kama klivyo pangwa mwshon mwahh wiki kilaktu ktakua open
 
da ! kitu kama icho itakuwa poa sana make tumechoshwa siasa zao .. wakiona kuna umuhimu watatoa wasipoona wataacha ,
 
Daa vijana...mnatia sana huruma maisha yenu yote yapo mikononi kwa tcu na nacte naona kukaa nyumbani wengi mmeshachoka....mna hamu kuitwa wanachuo
 
mbona mna pressure wakuu selection zitakuwa revealed tu na chuo mtaenda tu, najua sa hizi mna mchecheto wa kuja chuo, lakini msijali tcu watazirelease kesho mida ya mchana wakuu. Believe it or not...

Lastly nawatakia uvumilivu mwema mpaka hapo kesho tcu watakapofanya ya kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…