to be
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 229
- 261
Ndugu zangu habar za asbui,naombeni mnisaidie kujua application za mikopo ukiondoa Tala na branch.plz ziwe ni zile ambazo unauhakika/ushaidi kuwa kuwa zinatoa . Nawatakia asbui njema na kazi njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app