Nenda mkopo bila riba wakikupa unikumbukeNdugu zangu habar za asbui,naombeni mnisaidie kujua application za mikopo ukiondoa Tala na branch.plz ziwe ni zile ambazo unauhakika/ushaidi kuwa kuwa zinatoa . Nawatakia asbui njema na kazi njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe ni unafuu gani unaotafuta haswa? maana hakuna tofauti kubwa sana haswa ukizingitia kuna ushindani mkubwa tu.
wanakutumia utume kiasi cha pesa kwanza, dunia sasa imani imeisha