carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Ushakimbia sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitambo sana hatujatest mitambo ujue
[emoji23][emoji23][emoji23]NzuriKichaa mwenyewe [emoji23][emoji23]
Sijambo habari yako?
Ukirudi niambie[emoji124][emoji124]Nipo hapa bwana [emoji3]
#mbonahivyo
Kwa kweli sioni chochote kilichobadilikahttps://www.jamiiforums.com/index.php?posts/35296106
Watumiaji wa app nenden mkatoe mrejesho
Saint Anne and co
Mimi naona mauza uza tu yaani napata notifications za january huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona mauza uza tu yaani napata notifications za january huko.
Nimechoka na kulalamika[emoji124][emoji124]
Nimependa muonekano wa browser kwakweli sema hata app haijakaa vibayaView attachment 1457564
Muonekano mpya wa browser
Labda nitakavyozidi itumia ndio nitaiona nzuriNimependa muonekano wa browser kwakweli sema hata app haijakaa vibaya
Muonekano ni mbaya bana, ule wa zamani una utamu wake.Labda nitakavyozidi itumia ndio nitaiona nzuri