carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Hebu nipe location mimi niendeππLa ng'ombe na yule Mtu namfahamu ni fundi hasa wa kuandaa maankuli[emoji23][emoji23]
The only thing to fear is fear itself
Nilijua tu hizi point 3 utazifurahiaππππππ naona vikongwe mmekutana
Mpaka unakosea kuandika kwa uroho wa nyama[emoji23][emoji23]Hebu nipe locayion mimi niende[emoji39][emoji39]
π π π π π huwa sina maskhara na chakula hasa nyamaMpaka unakosea kuandika kwa uroho wa nyama[emoji23][emoji23]
Ni Jumatano lakini usijali
The only thing to fear is fear itself
ππππyaani angekuwa ankoo hapa ungesikia shuaini zakoπππππ
Nilitaka nisijibu sijui imekuaje tu?
πππPoint 3 za kunipa ubingwa hizi, muhimu kufurahia
Ngoja niulize kuna nafasi ya watu wangapiNafasi ipo nikae ubavuni kwako au nitaaribu mchongo?
π π π π πππNdio ushaniambia kijanja hivyo ππ
Shwaini zako mwenyewe
Huku kwema piaHofu na mashaka ni juu yako tu
Hapa kwema
Niko kwa mdaka chozi sema hii biashara ya kufunua page inataka moyoNjoo kwa mdaka chozi browser
Hahah karibu sana Ustaadh na wewe fanya kabla Ramadhani haijaisha utupe mualikoNafasi ipo nikae ubavuni kwako au nitaaribu mchongo?
Kususa tenaππππNafasi za matumbo mengi tena mie naweza kuwasusia kabisa mualiko huo [emoji23][emoji23]
The only thing to fear is fear itself