'For form.6 applicants who completed 2014 the minimum entry qualification is two passes(Two D's) in A-Level with a total of 2.0 points(Under the New Grading System)--tcu Saa manake nn? kwa hyo hata DDE anaweza[/QUOTE
upo sahihi kabisa mkuuu
Sasa mbona wanachelewa au chuo ni had mwakani nn?
Principal ni c
nahisi itakuwa hviyo MKUU
Madogo mmeshaanza sasa,ndio kwanza mwezi wa8 mnataka kwenda wap?wakati kaka zenu wengine hata tarehe za supp hawajajua ni lini,matokea hapa mpaka mwezi wa9 atleast,kwa sababu vyuo vengine wanafungua mwez wa 10,e.g my chuo ardhi universit,tulizeni mizuka mtachoka wenyewe huko chuoni,anza kutafuta pesa tu za life without bum,maana c unajua hampat hela wiki ya kwanza unaweza kukuta mwezi au zaidi,so weka akiba
ila ku-edit sio inshu unaweza ukajikuta unakosa nafasi
Language-B+,History-B,Kiswahil-B, G.s-C.Wadau naweza pata Law udsm?
Thanx bro
jamanii wenye DD mbili 'new grade' wanaruhusiwa kuapply degree tcu manake iyo ni four
soma guide book vzuri. hakuna haja ya kufanya debates... kama principal ni D or C tutajua mwezi wa 9
He Mimi nilieangukia pua kwa kisw D Eng D Hist D name GS F Nina changu kweli kwenye Education?
hta mi nimecheck not yet proccessed