Person Of Interest
Member
- Sep 15, 2012
- 9
- 0
Hvi na wao huwa wanapewa bumu na bodi au?
Ndio watakaofanikiwa kuchaguliwa watadhaminiwa na wizara ya nishati na madini. ( FULLY SPONSORED BY THE MINISTRY OF ENERGY & MINERALS ).
mbona kwenye web yao cjaona mahali waliposema kuwa watapewa sponsership na wizara mkuu?