Appreciation to these JF Members..

Appreciation to these JF Members..

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Uzi huuwa kirafiki ni mahsusi kwa kuwsshukuru ama kutambua umuhimu wa members wenzetu hapa JF. Mshukuru ama tambua umuhimu wa member yeyote kwa kumtag.

Kushukuru ni jambo la kiungwana.

Ninatambua umuhimu wa members hawa ninaowataja kwa kuwa good friends na kutenga muda wao kusoma kila post ninayoiweka jukwaani. Nimekuwa napata likes zao kwa wingi na kuongeza reputation yangu JF
raraa reree
Extrovert
Wakuu nawaombea heri na afya tele.
 
Uzi huuwa kirafiki ni mahsusi kwa kuwsshukuru ama kutambua umuhimu wa members wenzetu hapa JF. Mshukuru ama tambua umuhimu wa member yeyote kwa kumtag.

Kushukuru ni jambo la kiungwana.

Ninatambua umuhimu wa members hawa ninaowataja kwa kuwa good friends na kutenga muda wao kusoma kila post ninayoiweka jukwaani. Nimekuwa napata likes zao kwa wingi na kuongeza reputation yangu JF
raraa reree
Extrovert
Wakuu nawaombea heri na afya tele.
Gatcha 😃
 
Ebhana mimi najisikia hadi aibu muda mwingine inabidi niingie kwenye post zao nitoe likes ila
Extrovert na raraa reree hawa jamaa sijafika hata robo ya likes wanazonipa nipende kuwashukuru pia maana si kwa kuwalazimisha bali wao wenyewe maamuzi yao labda na kuelewa ninachoandika. SHUKRANI SANA WAKUU
Huna baya mkulungwa
 
Uzi huuwa kirafiki ni mahsusi kwa kuwsshukuru ama kutambua umuhimu wa members wenzetu hapa JF. Mshukuru ama tambua umuhimu wa member yeyote kwa kumtag.

Kushukuru ni jambo la kiungwana.

Ninatambua umuhimu wa members hawa ninaowataja kwa kuwa good friends na kutenga muda wao kusoma kila post ninayoiweka jukwaani. Nimekuwa napata likes zao kwa wingi na kuongeza reputation yangu JF
raraa reree
Extrovert
Wakuu nawaombea heri na afya tele.
Pamoja sana
 
Uzi huuwa kirafiki ni mahsusi kwa kuwsshukuru ama kutambua umuhimu wa members wenzetu hapa JF. Mshukuru ama tambua umuhimu wa member yeyote kwa kumtag.

Kushukuru ni jambo la kiungwana.

Ninatambua umuhimu wa members hawa ninaowataja kwa kuwa good friends na kutenga muda wao kusoma kila post ninayoiweka jukwaani. Nimekuwa napata likes zao kwa wingi na kuongeza reputation yangu JF
raraa reree
Extrovert
Wakuu nawaombea heri na afya tele.
Umemsahau mkwepu jr mzee wa kulike

Hata Nakubusu hanaga baya na mtu a very disciplined woman 🤗🤗🤗😊☺️😘
 
Japo uzi umekaa kichit chat... sina wa kumtag lakini nawashukuru members wote humu
Nipo hivi nilivyo sababu yenu

Hata wale members 16 waliopo kwenye ignore list bado nawakumbuka,japo sikumbuki mlinifanya nini hadi nikawaweka huko...nawapenda ivo ivo
 
Back
Top Bottom