Approval madaraja ya Watumishi wa Umma, TAMISEMI wanamwangusha Rais

Approval madaraja ya Watumishi wa Umma, TAMISEMI wanamwangusha Rais

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii.

Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi.

Approval hao wasifanye watumishi waichukie serikali yao. Wasifanye pawepo chuki dhidi ya Serikali.

Mikoa mengine tangu June 2024 watumishi walishapata Madaraja yanayostahili.

PIA SOMA
- DOKEZO - Watumishi wa Umma zaidi ya 80% hawajapandishwa madaraja ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 unaoisha. Hii ni dhulma kubwa
 
ccm kama ingekuwa inapokea tuzo point za voda basi wangeweza kulipa madeni wanayokopa kwa lawama mnazo walizonazo
 
Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii.

Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi.

Approval hao wasifanye watumishi waichukie serikali yao. Wasifanye pawepo chuki dhidi ya Serikali.

Mikoa mengine tangu June 2024 watumishi walishapata Madaraja yanayostahili.

PIA SOMA
- DOKEZO - Watumishi wa Umma zaidi ya 80% hawajapandishwa madaraja ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 unaoisha. Hii ni dhulma kubwa
Hivi madaraja ya mserereko mwezi huu wa July yapo?
 
Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii.

Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi.

Approval hao wasifanye watumishi waichukie serikali yao. Wasifanye pawepo chuki dhidi ya Serikali.

Mikoa mengine tangu June 2024 watumishi walishapata Madaraja yanayostahili.

PIA SOMA
- DOKEZO - Watumishi wa Umma zaidi ya 80% hawajapandishwa madaraja ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 unaoisha. Hii ni dhulma kubwa
katibu mkuu utumishi kwa hili anastahili kuwajibishwa. watu wanalalamika wiki nzima hii. wife hajui kama kapandishwa au la na anastahili.
 
wanasema ni mmoja, ati KM ameweka approval mmoja tu kati ya rundo la watumishi. akifa? akiugua?
Tulia tu mkuu. Wanakesha wanapiga kazi. Kuna timu ya kutosha. Watumishi wa kada zote wanahuduniwa isipokuwa jwts na teeth. Relax utafikiwa
 
Tulia tu mkuu. Wanakesha wanapiga kazi. Kuna timu ya kutosha. Watumishi wa kada zote wanahuduniwa isipokuwa jwts na teeth. Relax utafikiwa
hivi hayo madaraja wanapandisha kwa watu gani, manake mtaani huku watu naona wanalalamika. ni vigezo gani wanatumia?
 
Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii.

Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi.

Approval hao wasifanye watumishi waichukie serikali yao. Wasifanye pawepo chuki dhidi ya Serikali.

Mikoa mengine tangu June 2024 watumishi walishapata Madaraja yanayostahili.

PIA SOMA
- DOKEZO - Watumishi wa Umma zaidi ya 80% hawajapandishwa madaraja ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 unaoisha. Hii ni dhulma kubwa
Mnawaza kupanda madaraja tu kujaza pepmis aaah?
 
Back
Top Bottom