Approved Tanzania's Budget 2011/2012

Mpendwa

Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
56
Reaction score
11
Ndugu zangu wana JF nisaidieni nakala ya bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo ilifanyiwa marekebisho kidogo na kupitishwa na Bunge. Ninayo nakala ya Mkulo pekee ambayo ina mapendekezo tu, lakini ninahitaji ile iliyokuwa amended na kupitishwa. asanteni wadau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…