April Fools

Status
Not open for further replies.
Breaking news France24 kwamba Baba Mtakatifu ameamua kujiuzulu madai kuwa uongozi wake,akiwa kardinali na baada ya kuwa Papa haukufanyia kazi tuhuma za sexual abuse zinazowakabili watumishi kadhaa wa Kanisa Katoliki.Tamko rasmi litafuata.
 
Today is APRIL FOOLS!!

Wajinga wako wengi kweli
 
Leo ni siku ya wajinga / watu wasio makini. Sidanganyikiiiiiiii
 

JAMANIEEE! lEO NI APRIL MOSI, INANIPA TAABU KUAMINI KILA KINACHOANDIKWA LEO, KWANI KUNA WATU WATAKAOITUMIA SIKU YA LEO KWA MIZAHA.
 
Breaking news France24 kwamba Baba Mtakatifu ameamua kujiuzulu madai kuwa uongozi wake,akiwa kardinali na baada ya kuwa Papa haukufanyia kazi tuhuma za sexual abuse zinazowakabili watumishi kadhaa wa Kanisa Katoliki.Tamko rasmi litafuata.

Mwe!
Tunasubiri tamko😛!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…