wale watuhumiwa wanoaminikika kushiriki kwenye kashfa mbalimbali leo mida ya saa tatu asubuhi wanafikishwa kizimbani pale mahakama ya kisutu , wananchi wamefurika kwa wingi kujionea kwa macho ni bureeeeee ila mwisho ni saa tatuu
hata jinsi ya kutunga habari ya uongo ionekane na uweli ndani yake bado una tatizo " yona , mramba , lowassa, rostarm na wengine wengi kizimbani leo " mhhh
Anyway asante kutukumbusha sikukuu ya mafisadi kuwa ni leo.