April Fools

Status
Not open for further replies.
Chama kimeingiliwa Happy fool day to you all ...

Mkuu FL1
Zab1:1Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu,
Wala hafuati njia ya wenye dhambi au kukaa katika baraza la wenye
mizaha.(Siku ya wajinga ni kazi ya mfalme wa anga.Mkuu Waberoya upo!!?)
 
i think we r over using the day
 
almanusura niingie mkenge wa kuiamini hii post! April fool bwana!
 
Hii siku haina ladha tena bad watu wanahangaika nayo?
 
Watu wazima na korod@@@@ zao wanafanya ujinga.
Sipendi!
 
ni siku ya kejeli na mizaha
 
Mkuu Pole, mbona kwa siku hii tumejiandaa.
 
Yote kwa yote yanawezekana Clouds wamerusha hewani na msimamo wa Zitto sio wa kuamini sana.
 
Ingekuwa ni amri yangu ningeifutilia mbali hii 'siku ya wajinga'
Wabongo tumei'complicate na kuwa siku ya wapumbavu.
 
Mi siamini kama kuna ukweli mpaka Jtatu ijayo.
 
Hivi hii siku inaisha saa ngapi? Ni mpaka jioni au mchana.
 
Leo April Fools' Day.

Don't take this seriously.

CCM would atone for everything else had they been smart and brave enough to quit EAC.

Mlenge
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…