April Fools

Status
Not open for further replies.
I think it is a myth that has approached reality. A myth has no owner
 
Mods, p'se move all these jokes to their rightfull place; si wanasema inaisha saa sita mchana?
 
Tetesi nilizosikia muda si mreafu ni kuwa Zitto Kabwe ahamia CCM. Sina uhakika na hili na wenye additional information watueleze.

Naona ipo thnread ingine...
Mwingine huyoo amepatikana. Leo ni sikukuu ya wajinga, ambayo mimi naiita siku ya MIZAHA NA UONGO DUNIANI.
 
Ningekuwa Moderator post za zinazohusiana na siku ya wajinga ningeziondoa mara moja. Maana sasa badala ya kusoma mambo ya maana tunasoma huu upuuzi wa siku ya leo. Ngoja nisaini auti kwa muda.
 
JF inatangaza zawadi ya pasaka Tsh, 30,000/= kwa wale wote waliojisajiri kwa majina yanayoanzia na herufi M, mf mlenge nk, wasilianeni na invisible kwa maelekezo zaidi.
 
Nina wasiwasi na hii siku ya wajinga, ila tuvute muda.

NACHUKIA SANA MNAPOTULETEA UJINGA HUMU KWA KISINGIZIO CHA SIKU YA WAJINGA!!!! GRRHHGG%%&#@@

Hakuna wajinga miongoni mwa Great Thinker! PSE!!!!!!!!
 

Huo ujinga bakieni nao wenyewe, msiulete kwetu mwe!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…