Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Wewe kama unachuki zako kwa Magufuli kwa kuzuia uharamia kwenye utalii na ujangili hama nchi.

Sijawahi kujihusisha na biashara yoyote haramu na wala sintojihusisha hata Magufuli akitoka madarakani. Nina uwezo wa kupata kupitia shughuli halali.
 
Ulitaka tuendelee kulipa capacity charge kwenye umeme wa kifisadi?
Ukijumlisha ufisadi uliofanyika Awamu ya kwanza Mpaka ya nne hauzidi ufisadi uliofanyika awamu ya 5 peke yake tu.....Awamu ya 5 peke yake wamepiga zaidi ya trilioni 6.
 
Ukijumlisha ufisadi uliofanyika Awamu ya kwanza Mpaka ya nne hauzidi ufisadi uliofanyika awamu ya 5 peke yake tu.....Awamu ya 5 peke yake wamepiga zaidi ya trilioni 6.
Wamu ya pili tunajuwa kuna loliondo, awamu ya tatu kuna kiwira, awamu ya nne, escrow...nini kimefanyika awamu ya tano?
 
The biggest move da safi sana taratibu tutafika tu mungu awe pamoja nasi ila hapa tungepata na watu wa ndani ili baadhi ya pesa ibaki kuliko zote kuzitupa nje
hovyoo
 
Sijui nani katuroga.
Wengine tunawaza t. 1.5 na t.4 zimetumika vipi, wengine wanasifia t. 0.688, 06?
Safari hii ni viva wajinga, mnaonekana sana kwa awamu hii. Yaani awamu hii umetufanya tuwadharau hata wenye bonge na cheti cha elimu.
nimewakumbuka wale wa KOROW SHOW walioandamana sijui wameishia wapi
 

Wako kimya kwa sababu wanataka JPM a-fail lakini jamaa yuko makini ..,wengi wao wanachangia vitu ambivyo ni negative tu lakin positive things hawawezi zaidi ya kubeza tu
 
Wako kimya kwa sababu wanataka JPM a-fail lakini jamaa yuko makini ..,wengi wao wanachangia vitu ambivyo ni negative tu lakin positive things hawawezi zaidi ya kubeza tu
Inasikitisha jinsi mioyo ya watu wengine ilivyopinda.
 
Wako kimya kwa sababu wanataka JPM a-fail lakini jamaa yuko makini ..,wengi wao wanachangia vitu ambivyo ni negative tu lakin positive things hawawezi zaidi ya kubeza tu
afeli mara ngapi na ipi aliofaulu? kuleta maboing mabovu? au kivuko cha BWAGAMOYO..? au naniliuu...? msidhani tumesahau la KOROW SHOW mlisema mtabangua kwa MIMENO yenu
 
afeli mara ngapi na ipi aliofaulu? kuleta maboing mabovu? au kivuko cha BWAGAMOYO..? au naniliuu...? msidhani tumesahau la KOROW SHOW mlisema mtabangua kwa MIMENO yenu
Mkuu naona uko averse kwa maendeleo ya nchi
 
Una tatizo na mradi kufanikiwa kuanza, au?
sio kufanikiwa kuanza... bali tatizo ni kwa nyie mnaopiga debe tupu mkidhani huo mradi utakuwa endelevu.. nachowaombea ni uzima wa afya zenu tu muwe hai mpaka JONII atakapomaliza muhula wake ndo mtajua kilichochini ya kapeti..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…